MENU

Kelvin Mwita

  • Home
    Mwanzo

  • Books
    Vitabu

  • Lectures
    Mihadhara

    • Organizational Behaviour
  • Research Papers
    Machapisho ya Tafiti

  • Workshops
    Warsha

  • Gallery
    Picha

  • My Profile
    Kuhusu Mimi

  • Opportunities
    Fursa

    • Jobs / Kazi
    • Scholarships / Ufadhili
    • Competitions / Mashindano
Kelvin Mwita
Skip to content
  • Home
    Mwanzo

  • Books
    Vitabu

  • Lectures
    Mihadhara

    • Organizational Behaviour
  • Research Papers
    Machapisho ya Tafiti

  • Workshops
    Warsha

  • Gallery
    Picha

  • My Profile
    Kuhusu Mimi

  • Opportunities
    Fursa

    • Jobs / Kazi
    • Scholarships / Ufadhili
    • Competitions / Mashindano

ATHARI YA KUCHAGUA AU KUCHAGULIWA KAZI ISIYO SAHIHI

Kelvin Mwita    February 16, 2018 February 16, 2018    1 Comment on ATHARI YA KUCHAGUA AU KUCHAGULIWA KAZI ISIYO SAHIHI

      Katika kufanya uchaguzi wa nini mtu anataka kufanya hasa kwenye masuala ya ajira sababu hutofautiana. Wapo watu ambao wamechagua fani au kazi fulani kwa sababu tu ndiyo… Read more »

Makala   

UMUHIMU WA DHANA YA USHIRIKISHAJI KWENYE MAAMUZI YA TAASISI

Kelvin Mwita    February 15, 2018 February 15, 2018    No Comments on UMUHIMU WA DHANA YA USHIRIKISHAJI KWENYE MAAMUZI YA TAASISI

Taasisi yoyote hustawi vyema kama imejengwa katika misingi imara ya umoja na ushirikiano katika ngazi zote.  Lengo kuu la kuunda taasisi ya iana yoyote ni kuunganisha nguvu ya zaidi ya… Read more »

Makala   

Wajua Kustaafu Kutakuongezea Hatari ya Kifo Usipojipanga?

Kelvin Mwita    February 15, 2018 February 15, 2018    1 Comment on Wajua Kustaafu Kutakuongezea Hatari ya Kifo Usipojipanga?

Katika hali ya kawaida mtu anapomaliza utumishi wake anatakiwa kufurahi kwa sababu maisha baada ya kustafu huonekana kama ni muda mzuri wa kujitua majukumu mengi, kuwa huru na kupumzika. Hakuna… Read more »

Makala   

MMONYOKO WA MAADILI MAENEO YA KAZI

Kelvin Mwita    February 6, 2018 February 6, 2018    1 Comment on MMONYOKO WA MAADILI MAENEO YA KAZI

Ofisi nyingi zimekuwa zikinyooshewa vidole kwa sababu ya kuwa na watu wasio waadilifu. Miaka ya hivi karibuni vitendo vya mmonyoko wa maadili vimekuwa vikiripotiwa kwa wingi kuliko miaka iliyopita. Maeneo… Read more »

Makala   

MAHUSIANO KATI YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA YANAVYO ATHIRI UTENDAJI

Kelvin Mwita    February 6, 2018 February 6, 2018    No Comments on MAHUSIANO KATI YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA YANAVYO ATHIRI UTENDAJI

Moja ya vitu ambavyo muhimu katika kujenga ustawi wa shirika lolote lile; liwe la umma, binafsi, dogo au kubwa ni mahusiano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Kwa upande wa mwajiri… Read more »

Makala   

Sababu za Watu Kuamini Ushirikina Mahala pa Kazi

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on Sababu za Watu Kuamini Ushirikina Mahala pa Kazi

Katika maeneo mengi barani Afrika na sehemu nyingine duniani ushirikina sio kitu kigeni. Wapo ambao huusisha imani hii na tamaduni za jamii mbali mbali ikiwemo za kiafrika. Kamusi ya Kiswahili… Read more »

Makala   

Zijue Sababu za Biashara Kufa Muda Mfupi Baada ya Kuanzishwa

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    No Comments on Zijue Sababu za Biashara Kufa Muda Mfupi Baada ya Kuanzishwa

  Hakuna mtu ambaye anaanzisha biashara ya aina yoyote ile aikitarajia kuwa itakufa baada ya muda mfupi. Wengi uwa na matarajio ya biashara kukua na kuwa kubwa lakini hii huwa… Read more »

Makala   

Mambo ya Kuzingatia ili Kuongeza Ufanisi Kazini

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on Mambo ya Kuzingatia ili Kuongeza Ufanisi Kazini

Moja ya changamoto zinazowakuta wengi katika shughuli zao ni kuwa na ufanisi usioridhisha. Tafiti zinaonesha kuwa wapo watu ambao kiasili wanahamasa kubwa ya kazi hivyo kuwafanya wawe hodari zaidi katika… Read more »

Makala   

Ujue Utaratibu na Faida za Kuanzisha Kampuni nchini Tanzania

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on Ujue Utaratibu na Faida za Kuanzisha Kampuni nchini Tanzania

Watu wengi wanaamini kuwa kuanzisha au kumiliki kampuni ni mchakato mrefu, mgumu na wenye gharama kubwa. Dhana hii imegeuka kikwazo kwa baadhi ya watu na kukata tamaa ya kuanzisha makampuni… Read more »

Makala   

MISINGI 10 YA WASILIANO MAHALA PAKAZI

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on MISINGI 10 YA WASILIANO MAHALA PAKAZI

Mawasiliano yanachukua nafasi kubwa sana katika kujenga uhusiano wa aina yoyote ile. Inapotokea mawasiliano yakayumba ni dhahiri kuwa uhusiano huo utayumba pia. Taasisi imara na madhubuti inajengwa kwenye misingi imara… Read more »

Makala   

Dondoo Muhimu Katika Matumizi Sahihi ya Muda Kazini

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on Dondoo Muhimu Katika Matumizi Sahihi ya Muda Kazini

Mara nyingi kinacho watofautisha watu waliofanikiwa na wale ambao hawajafanikiwa ni matumizi sahihi ya muda. Muda ni moja ya rasilimali muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Kitu kibaya kuhusu muda… Read more »

Makala   

MATUMIZI YA UBUNIFU KATIKA KUVUTIA WAAJIRI

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on MATUMIZI YA UBUNIFU KATIKA KUVUTIA WAAJIRI

Makala ya leo inaangazia moja ya mambo ya msingi sana katika kukufanya uwe mtu wa tofauti na kukuongezea thamani katika soko la ajira ; suala la ubunifu. Ubunifu ni uwezo… Read more »

Makala   

Maswali Yanayoulizwa Kwenye Usaili na Namna ya Kuyajibu-2

Kelvin Mwita    January 27, 2018 January 27, 2018    1 Comment on Maswali Yanayoulizwa Kwenye Usaili na Namna ya Kuyajibu-2

Katika mfululizo wa Makala za mbinu za kuajirika wiki iliyo pita tuliangalia maswali matano ambayo huulizwa mara kwa mara kwenye usaili wa kazi. Wiki hii tena tutaendela na maswali yaliyosalia… Read more »

Makala   

Maswali Yanayoulizwa Kwenye Usaili na Namna ya Kuyajibu

Kelvin Mwita    December 28, 2017 March 16, 2018    No Comments on Maswali Yanayoulizwa Kwenye Usaili na Namna ya Kuyajibu

Katika mada ya leo tunaangalia maswali ambayo huulizwa mara kwa mara kwenye usaili wa kazi na namna ya kuyajibu. Kabla ya kupitia maswali haya kuna mambo matatu ya kuyafahamu na… Read more »

Makala   

Zijue Faida za Ubia katika Biashara

Kelvin Mwita    December 18, 2017 December 18, 2017    No Comments on Zijue Faida za Ubia katika Biashara

  Mwaka jana haukuwa mwaka  mzuri kibiashara kwa marafiki wa karibu; Mushi na Brian ambao walikuwa wakifanya biashara zinazofanana katika maeneno tofauti mjini Moshi. Wote walikuwa wakimiliki maduka ya kuuza… Read more »

Makala   

Posts navigation

« Previous 1 2 3 4 5 Next »
Ribosome by GalussoThemes.com
Powered by WordPress

Popular Posts

  • ULICHO KISOMA DARASANI KISIKUFUNGE KATIKA KUTENGENEZA KIPATO
    April 21, 2018
  • AINA 5 ZA MABOSI NA NAMNA YA KUENDANA NA UTENDAJI WAO KAZINI
    April 21, 2018
  • MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUAMUA KUACHA KAZI KWA HIARI
    April 21, 2018
April 2018
M T W T F S S
« Mar    
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
30  

Download app

Contacts


Kelvin M Mwita
Assistant Lecturer
Mzumbe University (MU)
School of Public Administration and Management (SOPAM)

P. o Box 2
Mzumbe-Morogoro

info@kelvinmwita.com
+255 659 08 18 38


Mail Gateway

  •   Webmail
  •   User Login
  • Login
  • Register
  • Forgot

Have an account?

Connect with:
Facebook Google Twitter

Register for this site!

Sign up now for the good stuff.

Connect with:
Facebook Google Twitter

Lost Your Password?

Enter your username or email to reset your password.

Connect with:
Facebook Google Twitter

Visitors

011791
Visit Today : 57
Visit Yesterday : 78
This Month : 1906
Total Visit : 11791
Hits Today : 195
Total Hits : 41193
Who's Online : 1
Server Time: 18-04-23

© 2018 Kelvin Mwita . All Rights Reserved | Designed by Smartcom ltd